Published by SAUTI YA UJAMAA
Lengo la Jukwaa hili ni kuendeleza nadharia na mapambano ya kupigania Ujamaa na Umajumui wa Afrika. Siku zote, na popote tunapokuwa, tunasimama upande wa wavujajasho. Tunaupinga ubepari katika sura zake zote (ubeberu, uliberali mamboleo n.k ) pamoja na mifumo mingine kandamizi inayostawisha ubepari (mfumo dume, ubaguzi wa rangi, ukabila, udini, ukaburu wa kiumri n.k ). Tunapambana kuibomoa mifumo hii yote ili kujenga mfumo unaozingatia uhuru, utu, haki na usawa.
Support rosalux.or.tz by sharing this page:
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on LinkedIn (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Tumblr (Opens in new window)
- Click to share on Pinterest (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to email this to a friend (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- More